• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MHE. DOTTO BAHEMU MBUNGE JIMBO LA NGARA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA, MBUBA

Wakati ilipowekwa: December 5th, 2025

NGARA UPDATES

05/12/2025

Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Dotto Jasson Bahemu, amefanya ziara katika Hospitali ya wilaya ya Ngara, Mbuba, ili kuona maendeleo ya ujenzi wake.

Akiwa Hospitalini hapo, Mhe. Dotto amesema amefika Hospitalini hapo, kuona maendeleo ya ujenzi wake, ili aweze kuongea na Wizara husika kuomba fedha za umaliziaji wa baadhi ya miundombinu ili kuwezesha upatikanaji wa huduma zote muhimu.

Akiwa Hospitalini hapo, Mhe. Dotto amewasihi Watumishi kutoa huduma nzuri na kuwajali Wananchi, ili kutafsiri vyema maono ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana kwa Wananchi.

Katika ziara hiyo, Mhe. Mbunge aliongozana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ngara Ndg. Vitalis Ndairagije,  DR Degrathias Mlandali Mganga Mkuu kny Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ,Diwani wa Kata ya Mbuba Mhe. Michael Bundora, Diwani wa Kata ya Rulenge Mhe. John Fabian Banigwa, Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wilaya ya Ngara ambayo inasimamia Elimu na Afya Ndg. Abdallah Kirobi, pamoja na baadhi ya Viongozi na Wanachama wa Kata ya Mbuba.

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MHE. DOTTO BAHEMU MBUNGE JIMBO LA NGARA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA WILAYA, MBUBA

    December 05, 2025
  • DKT. MWIGULU AFUNGA SEMINA ELEKEZI YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI

    December 04, 2025
  • DC NGARA MHE. COL. MATHIAS KAHABI ATEMBELEA KITEULE CHA JWTZ - MURUSAGAMBA

    December 04, 2025
  • MHE COL. MATHIAS J KAHABI DC NGARA AFANYA KIKAO KAZI NA VIONGOZI WA DINI

    December 03, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa