• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

RADIO KWIZERA YAZINDUA KAULI MBIU AMINIA 2026

Wakati ilipowekwa: January 13th, 2026

NGARA UPDATES

12/01/2026

Uongozi wa Radio kwizera umefanya maombi na uzinduzi wa kauli mbiu 2026 ambayo ni AMINIA.

Maombi yaliongozwa na Baba Askofu Severine Niyomugizi (RC) Aidha katika uzinduzi huo alishiriki Ndg.Said Salum K/Mkuu kitengo cha utamaduni sanaa na michezo pia (Mawasiliano Serikalini) aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji Ndg.Solomon O.Kimilike Mgeni rasmi.

Katika tukio hilo uongozi wa Rk pamoja na watangazaji wote walishiriki kikamilifu tukio hilo.taarifa ya uzinduzi ilitolewa na Bi Zawadi Bashemela  ambapo kipindi cha asubuhi njema uzinduzi wa kauli mbiu kiliongozwa na Bi Joyce Avile.

Pia Bi Flora Nyambi afisa utamaduni na michezo alishiriki katika uzinduzi.

Adha uongozi wa RK upo tayari kwa ushirikiano na Halmashauri kuwa na vipindi kwa Idara na vitengo kupitia Asubuhi njema pia kutangaza  habari za uhakika  yanahofanywa na serikali kupitia Halmashauri.

Naye mwakilishi wa Mkurugenzi Ndg said amewaeleza  menejiment ya RK kuwa Halmashauri itatoa ushirikiano mkubwa  kupitia Idara zake ili kuwaabarisha wananchi habari mbalimbali hasa za maendeleo zinafofanywa na Serikali kupitia Radio Kwizera ambayo husikika zaidi ya Mikoa Mitano 5.

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DKT. MWIGULU: KAZI ZINAZOWEZA KUFANYWA NA WAZAWA ZISIFANYWE NA WAGENI

    January 14, 2026
  • RADIO KWIZERA YAZINDUA KAULI MBIU AMINIA 2026

    January 13, 2026
  • WAZIRI MKUU AONGOZA MKUTANO KAZI WA MAWAZIRI

    January 12, 2026
  • RAIS DKT. SAMIA: TUZO YA CAF INANIPA NGUVU YA KUANDAA AFCON 2027

    January 10, 2026
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa