• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKUU WA IDARA YA UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASLIMALI WATU AFANYA KIKAO KAZI NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO, MAAFISA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: February 27th, 2025

NGARA UPDATES

27/02/2025

Mkuu wa Idara  ya Utawala na Usimamizi wa Raslimali Watu Bi Jenipha Mapembe amefanya kikao kazi kwa lengo la kukumbushana majukumu  mbalimbali  ikiwa na mikakati iliyo bora katika kufanya shughuli bora katika Jamii,  pia kufahamiana baada ya kuhamia Wilaya ya Ngara.

Kikao hicho wamehudhuria Wakuu wa Idara na vitengo, Maafisa utumishi,Maafisa watendaji kata zote , Watendaji wa Vijiji wote ambao kikao hicho kimefanyika ukumbi wa Community Centre Ngara Mjini.

Nae Afisa Mapato amesisitiza suala la   usimamizi wa ukusanyaji Mapato na pasiwe na utoroshaji Mapato katika vijiji/kata . Afisa Elimu Msingi amewataka kusimamia upatikanaji wa chakula shuleni ili kuepusha ufaulu hafifu, Afisa TEHAMA  amesisitiza matumizi sahihi ya Mifumo, mitandao ya kijamii pamoja na matumizi bora ya Poss Mashine, Fass na NeST,

Aidha Afisa kilimo amewataka Maafisa Ugani kuwafikia wakulima na wafugaji ,kuwasajili wakulima kwenye mfumo na kupewa namba ya Utambulisho. Afisa Maendeleo ya Jamii amewakumbusha mikopo ya asilimia 10  wahusika ni Vijana, wanawake na wenye ulemavu pia wawapitishie barua za kuomba mikopo kwani ndiyo wanaowatambua waomba mikopo  huko kijijini.

Mkuu wa idara ya utawala na usimamizi raslimali watu amesisitiza suala la ushirikiano katika kufanya kazi , pia amewakumbusha majukumu yao maafisa watendaji kata na vijiji, Ujazaji wa PEPMIS, Wajibu na Haki , wafanye Mikutano/ vikao vya kisheria , usomaji mapato na matumizi,kusimamia miradi ya Maendeleo,Suala la Maadili mazuri kazini na nje ya kazi, kuomba ruhusu rasmi anapopata changamoto , kusimamia usafi  wa mazingira ,kurudisha vitabu vya Michango na kuacha ulevi kazini.


Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa