• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKUU WA WILAYA AANZA MWAKA MPYA 2025 KWA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: January 2nd, 2025

NGARA UPDATES

Leo 02/2/2025

 Mhe Col Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya ya Ngara  amefanya Ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara.

Mhe. Col Kahabi alifuatana na Ndg Solomon Kimilike Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya aliyewakilishwa na Mhandisi wa Ujenzi Ndg Simon Mtuka, Wajumbe wa KU Wilaya, Watalaam  na wasimamizi wa Miradi ya LADP, Wakandarasi, mafundi ,Pamoja na Wakuu wa Idara toka Halmashauri ya Wilaya ya Ngara.

Miradi iliyotembelea na Mhe Col Kahabi pamoja na  viongozi aliyefuatana nao  ikiwa Jumla ni saba kama ifuatavyo;-

1. Ujenzi wa uzio - Kituo cha afya Rusumo - Shs 851m

2. Ujenzi wa Soko la Kimkakati, Kahaza - Shs Bilioni 2.5

3. Ujenzi Rusumo Sec Sch - Shs 260m

4. Ujenzi Ngara High Sch - Shs Bilioni 1.2

5. Ujenzi Lukole High Sch - Shs 260m

6. Ujenzi Shule ya AMALI, Kasharazi - Shs Bilioni 1.6

7. Ujenzi wa Halmashauri HQ - Shs Bilioni 3.5

Miradi yote inaendelea vizuri katika hatua mbalimbali. Aidha, kwa niaba ya wananchi ya Wilaya ya Ngara, 

Mhe Col Mathias Kahabi ametoa shukrani nyingi kwa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kutoa fedha nyingi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ambapo miradi mingi ya maendeleo inaendelea kutekelezwa vema na kwa ufanisi mkubwa.

Mhe Col Kahabi mkuu wa wilaya ya Ngara akiwa kwenye ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo hapa akiwa eneo la soko mkakati la kahaza Rusumo.






 

Ngara Kazi inaendelea..........

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO CHAFANYIKA

    May 21, 2025
  • MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA IMEFANYIKA WILAYA YA NGARA

    May 20, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa