• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKUU WA WILAYA AENDELEA NA ZIARA YA OPARESHENI TATUA KERO WILAYANI NGARA.

Wakati ilipowekwa: December 13th, 2023

Mkuu wa wilaya Mhe. Kanali Mathias Julius Kahabi, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kata ya Murusagamba vijiji vya Ntanga na Magamba tarehe 13/12/2023.

 Mhe Mkuu wa Wilaya akiambatana na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg. Solomon kimilike, kamati ya  Usalama, Wakuu wa Idara na vitengo vya Halmashauri ,  Viongozi wa Tarura, Nguwasa, Nida, Tanesco pia viongozi wa Kata akiwemo Mhe Diwani wa Kata hiyo. 

Hii Ikiwa ni mwendelezo wa Zaira ya oparasheni sikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi  Kata Kwa Kata.

Mkuu wa wilaya Mhe kanali.Mathias Julius Kahabi, amewaeleza wananchi namna bora ya kuishi mpakani ambapo aligusia tabia ya wananchi kugawa na kuuza ardhi ya Tanzania kwa raia wa nchi jirani ambapo ametoa onyo kali na katazo la vitendo hivo kukoma mara moja.

 Aidha amegusia tabia za wananchi kutoshiriki vikao na kueleza kuwa tabia hiyo ndio chachu ya migogoro mingi ndani ya kijiji na kuwashauri kuwa na umoja, upendo na mshikamano pamoja na kuweka uzalendo mbele ili vijiji vyetu vipate maendeleo na Taifa kwa ujumla.

 Pia Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg.Solomon Kimilike  aliwaasa wananchi kuwa wazalendo na kuwa na umoja. 

Mkurugenzi Mtendaji Mtendaji  ameunda kamati ya muda ya kufatilia baadhi ya changamoto zilizobainika katika kijiji cha Murugunga na kutoa maelekezo juu ya kamati hiyo kuanza kazi mara moja ili kupata suluhisho la changamoto zote zilizobainika huku baadhi zikiwa zimetatuliwa hapo hapo na viongozi waliopewa nafasi ya kujibu kero hizo.

Diwani wa Kata hiyo Mhe Sudi Mkubila alipongeza Mhe Mkuu wa wilaya na timu yake Kwa kuanzisha zoezi la kusikiliza na kutatua kero Kwa wananchi Kata Kwa Kata.

Mkuu wa wilaya ya Ngara akiongea na wananchi wa Kata ya Murusagamba walayani Ngara katika zoezi la oparasheni tatua kero.


Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg. Solomon Kimilike wa kwanza kulia akiwa na Wakuu wa Idara katika zoezi la oparesheni tatua kero Kata ya Murusagamba.

ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa