• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

NGARA YANG'AA KWA KUSHIKA NAFASI YA KWANZA KIMKOA KATIKA TAMASHA LA UTAMADUNI VAZI LA ASILI MKOA WA KAGERA

Wakati ilipowekwa: December 19th, 2024

NGARA UPDATES

19/12/2024

Katika Mashindano ya Tamasha la utamaduni Mkoa wa kagera lililoandaliwa na Mhe Hajat Fatma Mwasa Mkuu wa mkoa wa kagera na  kushirikisha Halmashauri /wilaya za mkoa wa kagera.

Tamasha hilo lililoshirikisha Mashindano ya Vazi la asili, ngoma na maonesho vitu asili.

Halmashauri ya Ngara imeweza kushika nafasi ya 1 kimkoa katika shindano la Mavazi ya asili.Ambapo matokeo yalikuwa kama ifuatavyo

1. Ngara - 94

2. Biharamulo - 88

3. Bukoba MC - 87

4. Kyerwa - 83 

5. Missenyi - 75

6. Karagwe - 68

7. Muleba - 66

8. Bukoba DC - hawakushiriki

Mshindi wa kwanza amepata tsh 300,000/ na cheti, Mshindi wa pili tsh 200,000/ na cheti na Mshindi wa tatu tsh 100,000/na cheti.

Katika Ngoma za asili matokeo yalikuwa kama ifuatavyo 

1  Bukoba manispaa  82.5

2 karagwe  78.5

3 Muleba  70.75

4 Ngara 68.4

5 kyerwa  66.5

6 Biharamulo  66.4

7 Misenyi  62.6

8.Bukoba Dc 27.3

Mshindi wa Ngoma wa kwanza tsh 300,000 na cheti, mshindi wa pili tsh 200 000 na cheti ,mshindi wa tatu tsh 100,000 na cheti

Zawadi hizo zimetolewa  uwanja wa kaitaba Bukoba ambapo  Tamasha hilo limefanyika.

Mgeni rasmi katika Tamasha la utamaduni.mkoa wa kagera ,liliohusisha mambo mbalilimbali ikiwemo.uwekezaji kagera na maonesho mbalimbali alikuwa Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati.

Tamasha hilo limehudhuliwa na mhe Inocenty Bashungwa waziri wa mambo ya ndani ,viongozi wa mkoa , wakuu wa wilaya, wenyeviti wa Halmashauri ,meya manspaa, wakurugenzi watendaji, makatibu tawala wilaya, na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali kutoka kila hamashauri ya wilaya.




www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa