• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

SALAM ZA PONGEZI NA SHUKRANI KWA VIONGOZI NA WANANCHI KUTOKA KWA MHE COL.MATHIAS KAHABI - DC NGARA KWA KUSHIRIKI MWENGE WA UHURU KUANZIA MAPOKEZI, KWENYE MIRADI, MKESHA HADI KUUKABIDHI

Wakati ilipowekwa: September 15th, 2025

NGARA UPDATES

15/09/2025

Mhe Col.Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya  ya Ngara ametoa salam za Pongezi na Shukrani kwa viongozi na Wananchi kwa Mapokezi, Hamasa kubwa kwenye miradi , Mkesha na kuukabidhi  Wiliya ya Biharamulo.

Mhe amemshukuru na kumpongeza Ndg Solomon kimilike Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya  Ngara kwa ushirikiano mkubwa aliyoutoa  pia Mwl. Said Salum Mratibu wa Mwenge na wasaidizi wake kwa usimamizi , na kuwa kiungo kwa kamati mbalimbali   aidha  6amewashukuru kamati ya Usalama wilaya  na walio chini yako kwa ushirikiano  mkubwa.

Mhe Col. Kahabi aliendelea kuwashukuru wakuu wa idara na vitengo H/ Wilaya , kamati zote za maandalizi, kamati ya siasa chama cha mapinduzi ikiongozwa na comred Vitalis Ndailagije, viongozi wote wa Madhehebu ya Dini, Wakuu wa Taasisi za Serikali, Maafisa Tarafa,viongozi wa vyama vya siasa,Wakuu wa Taasisi Binafsi , Mashirika  na Makampuni ,Maafisa watendaji kata na vijiji,Watendaji wa Mamlaka za Ngara Mjini na Rulenge, Maafisa Elimu kata, Maafisa kilimo kata ,Maafisa Mifugo kata ,Maafisa Maendendeleo ya kata, Maafisa afya kata, wakuu wa shule za Sekondari za Serikali na Binafsi , walimu wakuu wa shule za msingi za serikali na Binafsi,wasimamizi wa miradi , Chief Nsoro na chief Baramba, Wafanyabiashara na wajasiliamali ,Wakulima na wafugaji,Watumishi wote wa umma,Vijana wa Hamasa,Vijana wa Halaiki,Vijana wa kongamano,wasanii mbalimbali,Waandishi wa Habari ,Vijana wa Skauti,Wanafunzi  wote , Madereva   na wananchi wote waliohudhuria.

Aidha Mhe Col . Kahabi amewashukuru watu wote kwa  kufanikisha  shughuli za Mwenge wilayani Ngara, pia  ameendelea kwa kusema Ahsnteni sana anawashukuru na kuwapongeza kwa kujitolea kwa hali na mali,

"Jitokeze kushiriki Uchaguzi mkuu October 29/2025 kwa aman na utulivu"

 Ngara kazi inaendelea

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • SALAM ZA PONGEZI NA SHUKRANI KWA VIONGOZI NA WANANCHI KUTOKA KWA MHE COL.MATHIAS KAHABI - DC NGARA KWA KUSHIRIKI MWENGE WA UHURU KUANZIA MAPOKEZI, KWENYE MIRADI, MKESHA HADI KUUKABIDHI

    September 15, 2025
  • KARIBU KAGERA MWENGE WA UHURU

    September 07, 2025
  • DC NGARA COL.KAHABI AWAALIKA WANANCHI KUUPOKEA, KUUSHANGILIA NA KUKESHA NA MWENGE WA UHURU JUMAMOSI YA TAREHE 13 SEPTEMBA 2025 UWANJA WA MPIRA RULENGE - NGARA

    September 10, 2025
  • MKUU WA WILAYA NGARA ANAWAKARIBISHA WANANCHI WOTE KWENYE MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 13/09/2025 LUKOLE HIGH SCHOOL

    August 30, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa