• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

SALAMU ZA SHUKRANI KWENDA MBEYA.

Wakati ilipowekwa: October 16th, 2025

Salamu nyingi za shukrani natoa kwenu wana Mbeya, mikoa ya jirani na wote mliotoa muda wenu kuhudhuria sherehe za kilele za Mbio za Mwenge wa Uhuru. Na kubwa zaidi ni Uzinduzi wa Kitabu cha kumbukumbu ya Miaka 60 ya Mwenge wa Uhuru.

Mwenge wa Uhuru 2025 umeacha historia kubwa sana. Ukiacha umbali uliokimbia na idadi ya miradi iliyokaguliwa na thamani yake ni wazi kuwa Mbio za Mwenge mwaka huu zimeacha historia katika masikio na macho yetu kutokana na ukweli kuwa sherehe zimepambwa vzr na halaiki ya safari hii ilikuwa ya kipekee na yenye kusisimua.

Hii inatokana na ainaya watu walioshiriki ambapo kwa mara ya kwanza Watoto wenye Ulemavu wa viungo nao pia wameshiriki. Ni jambo ambalo halijawahi tokea.

Kama ilivyoada Kilele uanza na misa takatifu ya kumuombea Baba wa Taifa , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tunalishukuru Kanisa katoliki kwa kuongoza misa hiyo kwa mafanikio makubwa. Tuzidi kumuombea Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere. 

Mgeni Rasmi Dr. Philip Mpango , Makamu wa Rais Wa JMT alifunga maonyesho ya kazi za vijana yaliyofanyika kwa siku 7 katika eneo la uhindini hapo hapo Mbeya. Maonyesho haya yalionyesha vipaji mbalimbali vya vijana na ubunifu. Nayo yameacha kumbukumbu nzuri kwa idadi ya washiriki na kazi walizoshiriki. Kwa hakika imefana sana.

Mwenge wa Uhuru 2026 unataraji kuwashwa Mkoa wa Kusini  Pemba na baada ya kuzungushwa Nchi nzima utafikia kilele Mkoani Rukwa ambapo pia tutafanya Maonyesho ya kazi za Vijana katika wiki ya vijana, pamoja na kongamano kubwa la Vijana.

Ninarudia kuwashukuru sana Wanambeya kwa ushiriki na utayari wao. Kipindi chote umeonyesha utayari kwa kuhudhuria kwa wingi  wiki ya maonyesho ya kazi za vijana. Kila siku makundi kwa makundi; ushiriki wenu kwenye Kongamano la Vijana na uwazi wetu katika kujadili na wisho ushiriki wenu kwenye misa. Tunawashukuru sana. Kwa hakika wameuenzi Mwenge wa Uhuru ambao umeendelea kuwa moja ya Tunu katika Umoja wa Nchi yetu.

Asanteni Mbeya

#MwengeWaUhuru2025

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • SALAMU ZA SHUKRANI KWENDA MBEYA.

    October 16, 2025
  • VIONGOZI WA DINI HUBIRINI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU - DC NGARA

    October 20, 2025
  • MHE COL MATHIAS KAHABI DC NGARA ATEMBELEA UJENZI WA BARABARA YA KIVUKONI RUSUMO.

    October 02, 2025
  • VIWANGO VYA UDUMAVU NA UKONDEVU VIMEPUNGUA NCHINI - MAJALIWA

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa