• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Serikali ya China Kuanza Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Kagera Mei 29, 2019

Wakati ilipowekwa: January 31st, 2019

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce, ametembelea vyuo vya Mafunzo ya Ufundi standi (VETA), ili kuona ajionee maendeleo ya ujenzi wa vyuo hivyo, ili viweze kuwasajili vijana waliohitimu elimu ya msingi na kidato cha nne.

Prof. Ndalichako amefanya ziara Januari 26, 2019 mkoani Kagera, ambapo alipata fursa ya kutemebelea eneo litakalojengwa chuo kikuu cha ufundi kijijini Burugo, kujionea kama serikali ya Mkoa wa Kagera imefikisha miundombinu ya Barabara, Maji na Umeme katika eneo hilo.

Akiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawiro alikagua miundombinu ya Barabara, Maji na Umeme iliyofikishwa katika eneo hilo na Serikali na kusema kuwa jukumu la Serikali, limekamilika; kilichobaki ni Watu wa China kuanza ujenzi wa chuo hicho.

“Sisi tumekamilisha kilichotakiwa, kilichobaki ni Serikali ya Watu wa China kuanza ujenzi katika eneo hili, chuo hiki kikamilika kitapokea wanafunzi 800 wa fani mbalimbali kwa wakati mmoja, na kitagharimu Shilingi bilioni 22.4.” Alifafanua Profesa Ndalichako.

Serikali ya Watu wa China mwaka 2015, ilihaidi kutoa shilingi bilioni 22.4 kwa ajili ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi, na Rais Jakaya Kikwete akaagiza chuo hicho kijengwe Mkoani Kagera, sasa ujenzi huo, unatarajia kuanza Mei 2019; baada ya taratibu kukamilika.

Profesa Ndalichako ametembelea ujenzi na ukarabati wa Chuo cha Ufundi Stadi Wilayani Karagwe (Karagwe Development Vocational Training Center KDVTC), ambapo Serikali ilitoa Shilingi bilioni 4.6 ili Chuo hicho kiboreshwe miundombinu, ili kiweze kupokea wanafunzi wengi zaidi.

Profesa Ndalichako amemwagiza Meneja wa Wakala wa Majengo (TBA) Mkoani Kagera Mhandisi Salum Chanzi, ahakikishe ujenzi unakamilika ifikapo Julai 2019 kama ilivyopangwa wakati uataratibu wa ukarabati wa chuo hicho.

Aidha, katika hatua nyingine Profesa Ndalichako ametembelea Shule ya Sekondari Bukoba na kukagua majengo yaliyoezuliwa na upepo Octoba 17, 2018, na kuathiriwa na tetemeko la Ardhi Septemba 10, 2016 na kuhaidi kutoa fedha ili shule hiyo, ikamilike wananafunzi waendelee na masomo katika Shule hiyo.

Mara baada kupokea taarifa ya mkoa ya maendeleo ya elimu Mkoani Kagera, aliupongeza uongozi kwa kufanya vizuri na kuwa katika nafasi za kumi bora, katika mitihani ya taifa, huku akiagiza utatuzi wa changamoto za miundombinu.

“Chanagamoto ya vyoo inatakiwa kufanyiwa kazi haraka ukizingatia kuwa mkoa huu, una mvua nyingi, jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha ya watoto wawapo shuleni.” Alisisitiza Profesa Ndalichako.

Mkoa wa Kagera unafanya vizuri katika matokeo mbalimbali, na kuwa miongoni mwa mikoa kumi bora, ambapo kwa miaka mitatu mfurulizo 2016, 2017, na 2018 Mkoa wa Kagera uliongoza kwa kushika nafasi ya kwanza Kitaifa kati ya mikoa 26 ya Tanzania Bara katika Mtihani wa Upimaji wa Darasa la Nne.

Pamoja na Mkoa wa Kagera kufanya vizuri katika matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2018, shule ya Sekondari Rwemondo Wilayani Missenyi, ilishika nafasi ya 4 kwa shule kumi za mwisho.

Na Sylvester Raphael

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa