• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

SHULE ZA MSINGI ZAPEWA MIPIRA TOKA TFF WILAYANI NGARA.

Wakati ilipowekwa: March 22nd, 2024

NGARA LEO

Leo imefanyika hafla fupi ya ugawaji wa Mipira ambayo imetolewa na Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) kupitia programu ya Football for schools (F4S) Ikiwa ni jitihada za Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania za kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza michezo nchini Tanzania kwani amekuwa mstari wa mbele kuendeleza na kukuza sekta ya kuhakikisha Tanzania inafanya vizuri katika michezo ya Ndani na nje ya mipaka ya nchi.

Hafla hiyo imeongozwa na Mhe Sunday Mukozi aliyemuwakilishwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mhe Wilbard Bambara ambapo kila shule imepatiwa Mipira kumi.

Hafla hiyo imehudhuriwa na kaimu Afisa Elimu Mwl. Ezekiely Zabayanga, Maafisa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Maafisa Elimu Kata, Walimu Wakuu, Walimu wa Michezo na wanafunzi wanamichezo ambapo hafla hiyo imefanyika Ukumbi wa TRC Ngara Mjini.

Picha ya pamoja Mgeni Rasmi, kaimu Afisa Elimu Mwl. Ezekiely Zabayanga, Maafisa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Maafisa Elimu Kata, walimu Wakuu , walimu wa Michezo na wanafunzi wa michezo.



Picha ya pamoja ya Mgeni Rasmi, Maafisa Utamaduni Sanaa na Michezo, Maafisa Elimu Kata, walimu Wakuu na Walimu wa Michezo.


Mhe. Sunday Mukozi akigawa Mipira kwenye hafla.


Afisa utamaduni Wilaya ya Ngara Mhe. Said Salum akiongea kwenye hafla fupi ya ugawaji wa Mipira.


Kaimu Afisa Elimu Mwl. Ezekiely Zabayanga akiongea kwenye hafla hiyo.


Mhe. Sunday Mukozi aliyemwakilisha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Mhe Wilbard Bambara akiongea kwenye hafla hiyo fupi.


Mwalimu baada ya kupokea Mipira Kutoka Kwa Mgeni Rasmi.


Walimu wa shule za Msingi wakiwa katika hafla hiyo.




Mkuu wa kitengo Cha Mawasiliano Serikalini 

ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa