• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Tumaini fund Yafadhili Miundombinu Iliyogharimu Milioni 76 Kihinga Ngara

Wakati ilipowekwa: January 24th, 2019

Taasisi ya Tumain Fund katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, imefadhili vyumba viwili vya madarasa, ofisi ya walimu pamoja na madawati 30, katika shule ya msingi Kihinga wilayani humo, vilivyoaribika kufuatia mlipuko wa bomu Novemba 2017, kwa gharima ya shilingi milioni 76.

Mratibu wa taasisi hiyo Alex Nyamkara na Mwenyekiti wa mfuko huo Dkt Suzan Wilson kutoka nchini Uingereza, wamekabidhi miundombinu hiyo Januari 19, 2019 kwa uongozi wa shule hiyo baada ya mlipuko huo kuaribu vyumba vya madarasa vinne, wanafunzi watano kufariki dunia na wengine 43 kujeruhiwa.

Nyamkara amesema pamoja na ujenzi wa vyumba hivyo, wakati wa tukio hilo Tumaini Fund, ilitoa msaada wa matibabu kwa waadhirika, yaliyogharimu shilingi  milioni 6 kwa wanafunzi, waliolazwa katika Hospitali ya Rulenge wilayani Ngara.

“Msaada mwingine wanafunzi wote wa shule hii, walipewa vifaa vya kujifunzia darasani, ambapo majeruhi walipatiwa sare za shule na vifaa vya kujifunzia, huku familia zilizopoteza watoto, tuliwapa pole ya vyakula” Alisema Nyamkara.

Dkt Suzan Wilson kutoka nchini Uingereza, amesema wanafunzi watatu waliopata ulemavu wa kudumu atarudi hapa nchini kuwaletea vifaa maalumu vya kutumia, kulingana na ulemavu wao, ili waweze kuendelea na masomo yao.

Wanafunzi waliopata ulemavu wa kudumu ni Emanuel Hilali, Melania Razalo, ambapo walipofuka macho, na kuwekewa ya bandia katika Hospitali ya KCMC mkoani Kilimanjaro, ambapo Domina Wabandi alibaki na uoni hafifu.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele, ameitaka jamii ya shule hiyo kutunza miundombinu hiyo, na kuhakikisha wanaimarisha ulinzi na usalama katika kijiji hicho, ili tukio hilo lisijitokeze tena.

Shule hiyo inao wanafunzi 882 kati yao wavulana ni 452 na wasichana 430, ambapo inakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo 20, nyumba za walimu 10, vyumba vya madarasa vinane, huku ikihitaji umeme, kompyuta na bendera ya Taifa. ujenzi wa miundombinu hiyo imefadhiliwa na Dkt Suzan Wilson kutoka nchini Uingereza.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa