• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Turejeshe Imani ya Wakulima kwa Kusimamia Taratibu za Vyama vya Ushirika

Wakati ilipowekwa: September 12th, 2018

“Tusimamie taratibu za vyama vya ushirika, ili imani ya wananchi kwa vyama vyetu vya ushirika irejee waweze kuweka hisa zao; hakuna njia ya mkato, lazima vyama hivi viwe na nguvu.” Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elias Gaguti alitoa wito huo kwa Viongozi wa Wilaya ya Ngara.

Brigedia Jenerali Gaguti alitoa rai hiyo Septemba 08, 2018, wakati wa ziara yake ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, ikilenga kuutambua mkoa wa Kagera, ili kwa pamoja waweze kupanga watavyowatumikia wananchi.

Akijibu taarifa, Brigedia Jenerali Gaguti amesema amegundua changamoto kubwa, iko katika suala la kahawa baada ya maelekezo ya awali ya serikali, na akakiri kwamba kazi kubwa ya kukusanya kahawa, kutoka kwenye vyama vya msingi kwenda kwenye vyama vikuu, imekwishafanyika na inaedelea kufanyika.

“Langu katika hili, nataka twende pamoja kama kama mkoa tubaki kwenye msingi, ambao umetolewa maelekezo na serikali, kwamba lazima kahawa ikusanywe kupitia vyama vya msingi kwenda vyama vikuu, kwa ajili ya kupelekwa sokoni licha ya changamoto zilizopo.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Mkuu huyo wa mkoa wa Kagera amewataka viongozi waendelee kuwatia moyo wakulima, kwa kuwaeleza kwamba tatizo la ukusanyaji kahawa, serikali inalitambua na italitolea maelekezo ya ziada, ili kuwaondolea wananchi wasiwasi.

Ameutaka uongozi wa wilaya ya Ngara na wa mkoa kuvisimamia vyama vya ushirika, akidai kwamba hakuna njia ya mkato katika hilo; vyama vya ushirika ni lazima viendelee kufanyakazi iliyokusudiwa.

“Tumeanza na changamoto nyingi, lakani natumaini huko mbele ni pazuri, hata hivyo hili ni somo kwetu; ukiangalia vyama vya ushirika hasa kwa upande wa korosho, vimefanikiwa sana lakini hawakuanza kwa mafanikio ya asilimia 100.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kwamba imani yao kwa vyama vya ushirika inarejeshwa kwani wakulima wamekosa imani na vyama hivyo; kwa hiyo, lazima vijipange kurejesha imani hiyo kwa wakulima na wanachama wao; wilaya na mkoa wana dhamana kubwa ya kusimamia hilo.

Wakati huo huo, amefurahishwa na utendajikazi wa kiwanda cha kahawa cha Ngara Coffee, baada ya kuona mashine za kukoboa kahawa na kahawa iliyokuwa imekoborewa iko tayari kupelekwa sokoni.

“Ofisi yangu iko wazi pale mtakapohitaji ushauri na maoni kutoka kwetu, tunakuhakikishia kwamba utapata msaada wetu, hatutakukwamisha, mradi tu tuwe na uwezo wa kutatua tatizo lako.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa