• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

UJENZI WA SOKO LA KIMKAKATI KAHAZA KATA YA RUSUMO WAFIKIA ASILIMIA 93.90 WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: March 11th, 2025

NGARA UPDATES

11/03/2025

 Kamati ya fedha utawala na Mipango imetembelea kuona ukamilishaji wa ujenzi  wa soko hilo utagharimu Tsh 2,517,833,024/= na ambao umefikia asilimia 93.90

Makamu Mkiti wa Halmashauri Mhe Adronizi Bulindori aliongozana na kamati ya fedha ambao ni waheshimiwa Madiwani wajumbe wa kamati hiyo wakuu wa idara na Vitengo pamoja  na Mratibu wa LADP Ndg Asifiwe Gwihangwe.

Mradi huo una sehemu kuu sita ambazo ni Eneo la wazi kwa ajili ya Biashara za jumla na rejareja,Sehemu za kuhifadhi Bidhaa,Maduka na maeneo ya wazi kwa ajili ya ofisi mbalimbali , eneo la maegesho ya magari  na Eneo la Minada

 Faida za mradi ikiwa ni 

Kuongeza mapato ya Halmashauri  ambapo itakusanya mapato kutokana na ushuru wa kupakia na kupakua mizigo,kodi za vibanda,ofisi na ushuru wa maegesho.

Kuboresha mahusiano na nchi jirani baina ya Tanzania na Rwanda

Fursa za Ajira yaani katika utekelezaji wa mradi huu watanzania  mbalimbali hasa wakazi wa Ngara ameajiriwa  kwa muda mfupi ,kati na mrefu.

Kuinua kipato cha wananchi kupitia mradi huu wananchi wengi hasa wa wilaya ya Ngara wamenufaika hasa kupitia kutoa huduma na kuuza bidhaa mbalimbali kama vifaa vya ujenzi, vyakula,nyumba za kupanga na bidhaa nyingine zinazohitajika wakati wa  utekelezaji mradi huo.

Kukuza mji wa Rusumo kwani mradi huu utakuwa kichocheo kikubwa  cha ukuaji wa mji  wa Rusumo hasa kutokana na kuongezeka kwa mwingiliano wa watu na shughuli za kibiashara.

Soko Mkakati la Kahaza kata ya Rusumo wilayani Ngara


Kamati ya fedha ikikagua  maeneo mbalimbali ya Jengo la Soko la kimkakati kahaza


Mhe Adroniz Bulindori  Makamu Mkiti Halmashauri ya wilaya akiwa na mratibu wa LADP, Mhe Sudi Mkubila na wajumbe  kamati ya fedha


Ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa