• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

VIONGOZI WA DINI HUBIRINI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU - DC NGARA

Wakati ilipowekwa: October 20th, 2025

Tar 20.10.2025 - Ngara

‎Mkuu wa Wilaya ya Ngara, Mhe Kanali Mathias Julius Kahabi, amewataka viongozi wa dini wilayani humo kusimama kidete kuhubiri amani wakati huu Taifa linapojiandaa kuelekea Uchaguzi Mkuu.

‎Akizungumza katika kikao maalum kilichowakutanisha viongozi wa dini, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na wadau wa amani, Col. Kahabi Dc Ngara amesisitiza umuhimu wa kila mwananchi kushiriki kikamilifu kulinda amani ya nchi.

‎"Kila mmoja awe balozi wa mwenzake katika kuitunza na kuilinda amani ya nchi," alisema DC Kahabi.

‎Aidha, alisisitiza umuhimu wa wananchi waliojiandikisha kujitokeza kwa wingi kupiga kura, huku akiwatahadharisha vijana dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii.

‎"Ninawakemea vikali baadhi ya vijana wanaotumia mitandao ya kijamii kusambaza matusi na ujumbe usio na maadili dhidi ya viongozi. Hili halikubaliki," aliongeza.

‎Kwa upande wake, Mkuu wa Polisi Wilaya ya Ngara, Kamanda William Solla, alisisitiza kuwa uhalifu wowote unaolenga kuvuruga amani hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa uzito wake.

‎“Kosa la jinai halina ukomo. Watakaoshiriki vitendo vya uvunjifu wa amani watachukuliwa hatua kali za kisheria,” alionya Kamanda Solla.

‎Aliwataka viongozi wa dini kuhakikisha ujumbe waliopokea katika kikao hicho unawafikia waumini wao ili kwa pamoja kulinda misingi ya amani.

‎Naye Mgombea Ubunge Jimbo la Ngara,Dotto Jasson Bahemu ambaye alishiriki kikao hicho alisisiza kuwa uchaguzi ni haki ya kikatiba na si chanzo cha migogoro, hivyo Watanzania wote wanatakiwa kuungana pamoja kulinda amani, kuwa na upendo mshikamano na kuheshimu mamlaka zilizopo.

‎‎"Tuwakatae wote wenye nia ya kuchonganisha na kuvuruga amani ya nchi kwa kuhamasisha maandamano yenye madhara." alisema Dotto

‎Viongozi wote wa Dini waliohudhuria kikao hicho, wamekubaliana kwa pamoja kuilinda Amani ya Nchi na kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga Kura Oktoba 29,mwaka huu kuwachagua madiwani, Mbunge na Rais.

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • SALAMU ZA SHUKRANI KWENDA MBEYA.

    October 16, 2025
  • VIONGOZI WA DINI HUBIRINI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU - DC NGARA

    October 20, 2025
  • MHE COL MATHIAS KAHABI DC NGARA ATEMBELEA UJENZI WA BARABARA YA KIVUKONI RUSUMO.

    October 02, 2025
  • VIWANGO VYA UDUMAVU NA UKONDEVU VIMEPUNGUA NCHINI - MAJALIWA

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa