• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Waelimisheni Wananchi Juu ya Fursa Zinazokuja na Hifadhi Tengefu ya Burigi

Wakati ilipowekwa: September 17th, 2018

Viongozi wa serikali na wa wadini katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuwaelimisha na kuwapa taarifa wananchi ya namna watakavyonufaika na uwekezaji katika hifadhi tegefu ya Burigi, ili waweze kutumia fursa hiyo kukuza kipato chao.

Rai hiyo ilitolewa Septemba 08, 2018 na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti, alipokuwa akiongea na wafanyakazi pamoja na wananchi katika ukumbi wa Halmashauri wa wilaya ya Ngara, wakati wa ziara yake ya siku moja katika Wilaya hiyo.

“Kwa hiyo nitoe rai kwa viongozi katika mamlaka yenu; katika maeneo yenu ya utendaji, hakikisheni ujumbe  huu unwafikia wananchi, ili waendelee kupata taarifa ya jambo hili, ili waweze kuona watashiriki vipi katika uchumi wa moja kwa moja katika uwekezaji unaokwenda kufanyika pale.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Kwa Mkuu huyo wa Mkoa wa Kagera haitakubalika baada ya miaka mitatu wana Ngara na mkoa wa Kagera wakabaki ni watazamaji tu wakati fursa zipo; na kuongeza kwamba serikali imetanga fedha za kuweka miundombinu; hivyo ni jukumu la viongozi kutoa elimu kwa wananchi, ili waweze kutumia fursa hiyo.

Aidha, amesema kwamba kuna tabia ya baadhi ya watu kufikira kwamba kuwekeza lazima awe na mtaji mkubwa sana, na kudai kwamba suala siyo mtaji kwani mtu anaweza kuwa na fedha nyimgi asiwekeze; kinachotakiwa hapa ni mawazo ya mtu mmoja mmoja au ya vikundi.

“Kwa hiyo, ni vema wakati serikali inaendelea na mchakato wa kuweka miundombi yake katika hifadhi tengefu, sisi kama wanakagera wilaya ya Ngara ikiwemo, tuanze kufikiria tutanufaikaje na uwekezaji huo mkubwa.” Alisema Brigedia Jenelali Gaguti.

Amesema amejirisha kwamba hifadhi hiyo tengefu ina hali ni nzuri sana, wanyama wengi na mazingira mazuri kukidhi azma ya serikali, na kuongeza kwamba kama wanakagera kuna fursa nyingi za kuwanufaisha wananchi.

Wananchi walioongea na mtadao wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara walimsifu mkuu huyo wa mkoa kwa kuwapa taarifa za kuwepo kwa fursa hiyo; huku wakiahidi kuwekeza katika hifadhi hiyo tengefu pindi itakapokuwa hifadhi ya taifa.

Aidha, wamesema wanachohitaji si mtaji tu, bali elimu na taarifa za kutosha, ili waweze kuwa na uelewa kutosha kujua wanatakiwa kufanya nini, na ukomo wa uwekezaji kwa mtu mmoja mmoja na wa kikundi.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa