• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

WAZIRI MKUU AWATAKA WAKUU WA MIKOA WOTE KUANDAA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI WA MKOA

Wakati ilipowekwa: September 22nd, 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa kuandaa Mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Mikoa sambamba na makongamano ya vijana ili wabaini fursa zilizopo kwenye Mikoa yao.


Akizungumza wakati wa kufunga Mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Mkoa wa Kagera, ukumbi wa ELCT Bukoba Hotel, Mhe. Majaliwa ameeleza kuwa Mhe. Dkt. Philipo Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati ufunguzi wa Kongamano la Vijana wa Mkoa wa Dodoma alitoa maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa wote kuandaa makongamano ya Vijana ili vijana wakutane wabainishiwe fursa na wafundishwe namna ya kutumia fursa zilizopo kwenye maeneo yao


"Nami niungane na Mheshimiwa Makamu wa Rais kuwataka Wakuu wa Mikoa kuandaa mafunzo haya kama yalivyofanywa leo hapa Kagera kwa watendaji wetu ndani ya Serikali pamoja na kongamano la vijana ikiunganishwa nguvu ya pamoja Mkoa utaenda kwa kasi sana,"ameeleza Mhe. Majaliwa 


Pia Mhe. Majaliwa ameainisha maeneo yenye msisitizo ikiwa ni pamoja na kuweka utaratibu wa kufanya tathmini ili kubaini matokeo ya mafunzo hayo,kuwatumikia zaidi wananchi,kuwafuata na kutatua kero zao kuwasikiliza na kupata ufumbuzi wa kero zao hususani kero za ardhi,wafugaji na wakulima


Aidha, amemtaka Mkuu wa Mkoa kuweka mikataba ya utendaji kazi na wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri zote, viongozi na watumishi kwenda kufanya kazi kwa weledi, kuwa waadilifu na kuepuka vitendo vya rushwa


Ameendelea kueleza kuwa ni matarajio yake kwa muda ambao utakuwa umepangwa wa kutathmini matokeo ya mafunzo hayo ni vema kiongozi mwandamizi wa Taasisi ya Uongozi kuja kusikia kuona matokeo ya semina yake


Akitoa maelezo mafupi juu ya mwelekeo wa Mkoa wa Kagera baada ya Mafunzo hayo, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Fatma Mwassa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwaletea watanzania maendeleo ambapo kwa mwaka wa fedha 2023/24 Mkoa wa Kagera umepokea takribani ya Tsh. bilioni 281.3 ambazo zimepokelewa Halmashauri na Sekretarieti ya Mkoa, TARURA, TANROAD, RUWASA, TANESCO na REA.


Amebainisha changamoto zinazokabili Mkoa wa Kagera ni pamoja na kushuka kwa hali uchumi wa Mkoa wa Kagera ambao upo Mkoa upo nafasi ya 25, asilimia 34.5 ya watu wana udumavu na utapia mlo na mdondoko wa wanafunzi wanaoacha masomo ambapo takwimu za wanaocha masomo ni takribani wanafunzi elfu 16,726 kwa shule za msingi na 6,795 kwa shule za sekondari.


Hivyo kupitia mafunzo hayo viongozi wamejipanga na kuweka mkakati ili kuhakikisha changamoto zinatatuliwa na kuinua hali ya uchumi ya wananchi wa Mkoa wa Kagera.


www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa