• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

YAFANYIKA MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA UTATUZI WA CHANGAMOTO KATIKA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA ESS WILAYANI NGARA.

Wakati ilipowekwa: March 21st, 2025

NGARA UPDATES

21/03/2025

Timu ya Wawezeshaji  toka  ofisi ya RAS Kagera ikiongozwa na Ndg Amos M. Adonias ambaye ni Mratibu wa ufuatiliaji PEPMIS Mkoa, Ndg Samweli Chaba, Ndg Patrick Maro na Nduwayo Elias ambao ni Champions.

Katika mafunzo hayo yalihudhuliwa na Wakuu wa Idara na Vitengo H/ Wilaya, Maafisa utumishi , wasimamizi wa  vituo vya Afya na zahanati , walimu Wakuu, Wakuu wa Shule , Maafisa elimu kata,na wakuu wa Taasisi.

Lengo la Mafunzo ni kufanya ufuatiliaji wa Utekelezaji wa majukumu kwenye Mfumo wa PEPMIS  ni kuhakikisha kuwa watendaji Utendaji wa  watumishi  katika Mkoa wa Kagera unakuwa na Uhalisia na mada zifuatazo

  1. Kukumbushana kuhusiana na wajibu/ majukumu  kwenye Mfumo  wa  e utendaji kwa makundi mbalimbali.
  2. Kupitia hali halisi ya Utekelezaji wa Majukumu kwenye  e- Utendaji wa Taasisi  hadi marchi 2025.
  3. Kupokea na kutatua Changamoto zilizobainika katika utekelezaji wa Mpango kwenye taasisi.
  4. Kutoa ufafanuzi kuhusiana na uhamisho
  5. Ufafanuzi kuhusu Likizo  na Ruhusa.
  6. Kupitia hali halisi ya Mpango kwa watumishi wanaotumia kalenda ya mwaka ( calendar year).

Aidha  PSSSF walikutana na baadhi wastaafu pia lengo Lao likiwa  kufanya ufuatiliaji wa wanufaika wa mfuko husika na kutatua changamoto zao.

Maafisa utumishi  Ndg Bahati Adamu Aliwasilisha taarifa ya ufuatiliaji wa ESS  na Ndg Rutakinikwa Paschal  alibabadua masuala ya kiutumishi.

Timu ya wawezeshaji toka Ras Kagera waliipongeza Halmashauri ya wilaya ya Ngara kwa kuwa ya kwanza kimkoa  kuwa na asilimia 63 PEPMIS kulingana na uhalisia kwa Wilaya Zingine. 

Mgeni Rasmi katika mafunzo hayo alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Ngara  Ndg Josephat Sangatati.

Wawezeshaji mafunzo ya  ESS


Kaimu Mkuu wa idara ya utawala na Usimamizi wa Raslimali watu Bi Viviani Maruhe , Ndg Bahati Adamu na Mratibu wa Mafunzo Ndg Amos M. Adonias.


Washiriki wa Mafunzo Ndani ya ukumbi wa Askofu Ngara Mjini


Ndg Rutakinikwa Paschal Afisa utumishi akitoa utambulisho kwa Kaimu Ded walipowasili kabla ya Mafunzo


Maafisa Utumishi katika Mafunzo  Bi Perajia Nabudindi na Bi Viviani Maru ambaye ni kaimu mkuu wa idara ya utawala na usimamizi wa Raslimali watu



Washiriki wa Mafunzo

Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa