• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

ZOEZI LA UPANDAJI MITI LIMEENDELEA KATIKA SHULE YA NGARA HIGH SCHOOL KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MUUNGANO WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: April 23rd, 2024

Ngara leo

Leo tarehe 23/04/2024 limefanyika zoezi la upandaji miti katika shule ya Ngara High School mgeni rasmi akiwa Mkuu wa wilaya ya Ngara Mhe Col Mathias Julius Kahabi ikiwa ni mojawapo ya maadhimisho ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

TFS imetoa miti 2500 katika shule hiyo ikiwa mojawapo ya kuunga mkono juhudi za Mhe Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya muungano. 

Mgeni rasmi katika zoezi ilo alikuwa ni Mhe Mkuu wa wilaya ya Ngara, Col Mathias Julius Kahabi ambae amewakilishwa na meneja bwana Mussa Mlenge kutoka TFS kwa kuzingatia Kauli mbiu ya miaka 60 ya muungano "tumeshikamana na tumeimarika, kwa maendeleo ya Taifa letu ". Amesisitiza uongozi wa shule kuendelea kutunza miti hiyo ambapo TFS itaendelea kuisaidia shule katika uhifadhi wa mazingira.

Mkuu wa shule ya Ngara High School ameushukuru uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Ngara pamoja na uongozi wa TFS Kwa kuwaletea miti katika shule yao pia TFS wameahidi kuwaletea miti ya matunda.

Mkuu wa shule Ngara High School akiongea na wageni waliofika shuleni hapo pamoja na kutoa utambulisho.


Meneja TFS  bwana Mussa Mlenge akiongea na hadhara baada ya kufika shuleni ngara high school.


Wanafunzi wa shule ya Ngara High School wakichukua miti kwa ajili ya kupanda kwenye maeneo yaliyoandaliwa ikiwa ni maadhimisho ya miaka 60 ya muungano.


viongozi pamoja na wanafunzi katika picha ya pamoja katika maadhimisho ya miaka 60 ya muungano.


Mkuu wa shule, meneja wa TFS, watumishi kutoka TFS, pamoja na wanafunzi


Mkuu wa shule akikabidhi taarifa ya shule kwa mwakilishi wa mgeni rasmi.


Meneja wa TFS akipanda mti kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Ngara.


mkuu wa shule Ngara high school akipanda mti.


mwanafunzi akipanda mti kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya muungano.


zoezi la kupanda miti likiendelea.

Ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa