Wakati ilipowekwa: October 10th, 2018
Kamati ya lishe katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, imetakiwa kuhakikisha inatekeleza shughuli za kutokomeza udumavu wa watoto, kama ilivyoainishwa katika mkataba wa mradi wa Mtoto Mwerevu.
Kaim...
Wakati ilipowekwa: October 5th, 2018
Serikali imeombwa kuziruhusu Halmashauri kuongeza akaunti maalumu itakayotumika kutunza fedha za vijana, wanawake na walemavu, ili kurahisishsa shughuli za ukopeshaji na urejeshaji wa fedha hizo.
K...
Wakati ilipowekwa: October 5th, 2018
Wanafunzi wapatao mia nne (400) wa shule ya msingi Rusumo kata ya Murukulazo katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, watakosa mahali pa kusomea baada ya madarasa manne kuezuliwa na upepo kwa wakati tof...