Wakati ilipowekwa: November 19th, 2018
Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara wameshauriwa kujenga tabia ya kutatua matatizo yao wenyewe, badala ya kusubiri serikali iwafanyie kila kitu, kwani vitu vingine viko ndani ya uwezo wao.
...
Wakati ilipowekwa: November 7th, 2018
Walengwa wa malipo ya dirisha la kipindi cha Septemba – Oktoba 2018 wa TASAF III katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya ruzuku walizopokea, ili watimize lengo ...
Wakati ilipowekwa: November 6th, 2018
Wananchi wote katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuwapa ushirikiano wafanyakazi wa afya waliohudhuria mafunzo ya kupambana na magonjwa ya mlipuko, ili kwa kutumia elimu hiyo waweze kuya...