Wakati ilipowekwa: August 8th, 2019
Tarehe 8 Agosti 2019 timu ya wahamasishaji wa kampeni ya Nyumba ni Choo ilibisha hodi katika Kata ya Muganza kijiji cha Ruhuba kwa lengo la kuelimisha wananchi juu ya matumizi bora ya choo na umuhimu ...
Wakati ilipowekwa: July 20th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ikishirikiana na wadau mbalimbali wa maedeleo inaendelea kutoa na kuboresha huduma za lishe kwa jamii hasa siku 1000 za uhai wa mtoto tangu mimba kutungwa ili kuondoa ta...
Wakati ilipowekwa: July 6th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara imepata hati safi ya taarifa ya CAG katika kipindi cha mwaka wa fedha 2017/2018. Akisoma ripoti ya majibu ya hoja za CAG, Muhasibu wa Halmashauri ya Ngara Ndugu Yona &nb...