Wakati ilipowekwa: August 28th, 2025
Leo tarehe 28/8/2025, Mhe Col Mathias Julius Kahabi ameshiriki zoezi la usafi katika maeneo ya Nakatunga.
DC Col Kahabi alishiriki usafi huo pamoja na Viongozi wengine akiwemo Mhe Hafidh ...
Wakati ilipowekwa: August 27th, 2025
Leo tarehe 27/8/2025, DC Ngara Mhe Col Mathias Julius Kahabi amefanya Kikao cha Kamati ya Ushauri wa Kodi cha Wilaya ambapo yeye na Viongozi wenzake wamejadiliana mambo mbalimbali kuhusu kuboresha maz...
Wakati ilipowekwa: August 25th, 2025
NGARA UPDATES
25/08/2025
Mhe Col Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya leo amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi na shughuli za Mwenge wa Uhuru. Akifuatana Bi Hatujuani ...